
Besta ambaye aliwahi kutamba na ngoma ‘Baby Boy kutoka nchhini akana kuwa na mimba ya Marlaw na kuweka wazi kuwa hata uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki huyo hana zaidi ya kuwa majirani tu.
“Sina ujauzito wa Marlaw,nashangaa imesambaa hivyo,Marlaw ni jirani yangu na rafiki mkubwa lakini si zaidi ya hapo”Besta.
Aliongezea kuwa ana mpenzi wake na Marlaw ana mpenzi wake hivyo watu waelewe hilo..
Dah inawezekana marlaw anagonga hii kitu
No comments:
Post a Comment