SAKATA la Taasisi ya Kuweka na Kuvuna Pesa (DECI), limechukua sura mpya baada ya wanachama mbalimbali wanaodai fedha zao kuapa kumpigia kura mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMAA), Dk.Willibrod Slaa.
Mbali ya uamuzi huo, waathirika hao wakiwemo viongozi wao, wametangaza kumpigia kampeni Dk. Slaa kwa ndugu, jamaa na marafiki zao.
Latest Entries
Monday, September 13, 2010
Sunday, August 30, 2009
SINA UJAUZITO WALA UHUSIANO NA MARLAW
KAZI NA DAWA
Subscribe to:
Posts (Atom)